ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, December 29, 2010

Safari ya Ocean City wakati wa sikukuu ya Noeli. Kulikuwa kimyaa.

Hii ni Ocean City wakati wa Sikukuu ya X-mas kulikua hakutamaniki barafu ya kufa mtu,mji ulikua mweupe wakaazi hapo wamezoea kuona mchanga lakini siku hii walikua wanaona snow kila kona(picha zote kwa hisani ya Colonel Emmanuel Maganga)
Baadhi ya taswira katika jiji la Ocean City na vitongoji vyake, ndani ya Maryland.
kwa picha zaidi Bofya Read More

No comments: