ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, January 19, 2011

Rais Jakaya Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Jaji Dan Mapigano nyumbani kwake Mwenge, jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Marehemu anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Marehemu Jaji Dan Mapigano leo, jijini Dar es Salaam.
Picha na Freddy Maro

No comments: