
Mh.Balozi(shoto) akiwa kwenye picha na Prof.Julius Nyang'oro(kulia),Yusuf Nyang'oro(aliye kaa kati) na aliyesimama ni Danny Kaswamila

Mh.Balozi(wa pili toka kulia)kwa pamoja wakipata picha ya ukumbusho na Kanumba(the Great-kulia),Mzee Yusuf Kalala(kati) Aunt Sharifa Kalala na Baba mweye nyumba wake Salma.

juu na chini ni Wadau wa DMV wakipata U-kodak Moment na Mh.Balozi


No comments:
Post a Comment