![]() |
| Meneja wa kituo cha mafuta cha Kurasini, Dar es Salaam, Tumaini Massaro akitoa maelezo kwa makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal (wa tatu kushoto) kuhusu utendaji katika kituo hicho wakati kiongozi huyo wa serikali alipofanya ziara katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari(TPA). Kushoto kwa Makamu wa Rais ni Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Ephraem Mgawe. (Picha na Fadhili Akida). |

No comments:
Post a Comment