Advertisements

Thursday, April 28, 2011

Image
Gari la Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa, Chita, iliyopo Tarafa ya Mngeta, Kilombero likiwa limenasa katika Kijiji cha Kisegese ambapo barabara yake ya kutoka Ifakara - Mlimba imeharibika vibaya kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua za masika. Hata hivyo gari hilo lilifanikiwa kujinasua na kutoa msaada kwa magari mengine yaliyokuwa yamekwama eneo hilo kwa zaidi ya siku mbili. (Picha na John Nditi).

No comments: