| Maiga na Jacqueline wakiwa wamepozi kwa utulivu kabisa wakati ibada takatifu ya Ndoa yao ikiwa inaendelea. |
| Maiga na Jacqueline (katikakati) wakiwa na wapambe wao. Ni jioni ya leo, akanisa la KKKT, Azania Front, jijini Dar es Salaam. |
| Maiga na Jacqueline wakivishana pingu za Maisha. |
| Maiga akisaini hati ya ndoa |
| Jacqueline akisaini hati ya ndoa |
| Wamekwisha ungana |
| Waumini wakiwa katika Ibada hiyo takatifu ya Ndoa. |
| Picha ya pamoja ya wanafamilia nje ya kanisa la KKKT Azania Front Cathedral, jijini Dar es Salaam, mara baada ya ibada ya Ndoa. Picha zote na Victor Makinda(MJENGWA BLOG) |
No comments:
Post a Comment