ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 19, 2011

Nizar Khalfan akipiga na Manchester City

Nizar Khalfan - Vancouver Whitecaps FC v Colorado Rapids
Mchezaji Mtanzania Nizar Khalfan jana na timu yake ya Vancouver Whitecaps alicheza mechi na Manchester City,Nizar Khalfan aliingia kipindi cha pili na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumiliki mpira na hakuwa tofauti na wachezaji wa Man City,Hongera sana Nizar Khalfan picha za mpambano huo ulioisha kwa Man City kutoka kifua mbele ya mabao 2-1 Vijimambo itawaletea hapo baadae.
Nizar Khalfan - Vancouver Whitecaps FC v Colorado Rapids

No comments: