ANGALIA LIVE NEWS

Monday, August 1, 2011

RISALA YA KUKARIBISHA RAMADHAAN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk Ali Mohamed Shein, akisoma risala ya kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na kuwatakia wananchi kheri kati mfungo huo kwa salama,pia kuwataka wajitahidi katika kufanya ibada kwa wingi na kuzidisha imani katika jamii. 
Picha na Ramadhan Othman,IKULU

No comments: