Ninakutafadhalisha unikutanishe na ndugu hao waliopo hapo juu. Kuna dada ninayemfananisha na rafiki yangu mkubwa sana. Ni hao dada wanaogonganisha glass wamevaa magauni ya kijani. Ninaomba kama wanaweza kuwasiliana na mimi.
Mary Kipesilemarykipesile@yahoo.com
Asante
1 comment:
Anonymous
said...
Hello,
Hujambo dadangu. Naomba tuwasiliane kwa anwani hii hapa chini: marykipesile@yahoo.com
1 comment:
Hello,
Hujambo dadangu. Naomba tuwasiliane kwa anwani hii hapa chini: marykipesile@yahoo.com
Post a Comment