ANGALIA LIVE NEWS

Friday, September 23, 2011

Rais Jakaya Kikwete ahudhuria mkutano wa DICOTA,Washington,DC

 Rais Jakaya Kikwete akiingia ukumbini huku akisindikizwa na Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico Mh.Mwanaidi Maajar
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Maafisa Ubalozi(hawapo pichani) wakati alipokua akiingia ukumbini kwenye Hoteli ya Marriott iliyopo Sterling,Virginia
Rais Jakaya Kikwete(kulia) akikagua wajasiliamali wakliokuja kutoka Tanzania na sehemu mbali mbali Marekani

 Rais Jakaya Kikwete akisikiliza maelezo kutoka kwa moja wa Wajasiamali(hayuko pichani) wakati alipokua akikagua wajasiliamali mara alipofika ukumbini hapo
 Rais Jakaya Kikwete akiongea na Wajasiliamali wa Nyumba poa kwenye ukumbi huo unakofanyika mkutano wa DICOTA,Nyumba poa ni mradi wa kujenga nyumba Tanzania kwa bei nafuu kupitia mradi wa Watanzania walioishi hapa miaka mingi na kuamua kurudi nyumbani kusaidia Watanzania wenzao kujenga nyumba kwa masharti nafuu 
 Rais Jakaya kiwete akiongea na moja ya wajasiliamali wanaoshughulika na upigaji wa simu Tanzania kwa bei nafuu
 Rais Jakaya Kikwete akiongea na wajasiliamali wanaoshulika na maswala ya utalii
 Rasi Jakaya Kikwete akimsikiliza mmoja ya wajasiliamali

 Rais Jakaya Kikwete akiwa amekaa na Balozi wa Tanzania,Nchini Marekani na Mexico,Mh.Mwanaidi Maajar
Rais Jakaya Kikwete akihutubia kwenye mkutano wa DICOTA

No comments: