ANGALIA LIVE NEWS

Friday, November 4, 2011

FLASH BACK

 Frank Mung'ong'o, Athuman Ligagiti (anafanya kazi police Kilimanjaro), Mussa Sechonge, Eric Muumba (doctor Muhimbili), Jeremiah (yupo Botswana). Huyu mshikaji wa kulia naikumbuka sura ila sikumbuki jina lake na sijui yupo wapi hivi sasa. 

2 comments:

Samuel MALONJA said...

hahahaaa.....hii picha imenikumbusha <walimu Mashanga, andrew Kwayu na Mzee Meja, duuu....shule yangu hii. Hii ni mwaka gani? Sam Malonja,

Anonymous said...

Nafikiri hii ni class of 92.Wanne toka kushoto nahisi ni Joel Kalanje,watatu na watano kushoto nakumbuka sura ila nimesahau majina yao.