ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, November 2, 2011

HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YAPIGA MARUFUKU UPANGAJI BIDHAA NJE YA MADUKA

Mkurugenzi wa jiji la mbeya Juma Iddi kushoto akionge na waandishi wa habari Chales Mwakipesile Majira  Osea Cheo TBC na Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu

Mkurugenzi huyo wa jiji la mbeya amesema ni marufuku kuweka bidhaa nje ya maduka kwani imekuwa ni kero kwa waenda kwa miguu na usafi wa jiji kwa ujumla maana bidhaa zao hupanga mpaka barabarani hivyo kuwakosesha waenda kwa miguu eneneo la kupita
hivyo kuanzi sasa kila mfanyabiashara jijini mbeya aweke bidhaa zake ndani ya duka lake atakaekiuka agizo hilo atachukuliwa hatua kali na kulipa faini ya sh 50,000/
Baadhi ya maduka yaliyopanga bidhaa zao nje ya maduka ambayo sasa utaratibu huo umepigwa marufuku na jiji la mbeya
Picha Kwa Hisani ya Mbeya Blog

No comments: