Bondia Mada Maugo (kulia) akipambana na Selemani Said, wakati wa mpambano wao uliofanyika mzalendo pub jana Maugo alishinda KO raundi ya tatu
Wanenguaji wa Bendi ya Mapacha watatu wakiwajibika wakati ma mpambano wa masumbwi mzalendo Pub Dar es salaam jana
Mada Maugo akinyoshwa mkono juu kuashilia ushindi
No comments:
Post a Comment