ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, December 21, 2011

*Mvua kubwa yasababisha mafuriko, upotevu wa mali *Waishio mabondeni wakosa makazi, vifo vyaripotiwa *JWTZ, Polisi watumia helikopta zao kuokoa wananchi *Serikali kutumia polisi kuhamisha wananchi kinguvu

Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, jana walikubwa na mafuriko, baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha baadhi ya nyumba kujaa maji na watu kukosa makazi kama inavyoonesha katika picha hizi.
Wakosa makazi baada kutokana na mafuriko yaliyotokea.
Athari ya mafuriko, baada ya mvua iliyonyesha jana.(picha kwa hisani ya Majira)

No comments: