ANGALIA LIVE NEWS

Friday, December 16, 2011

MWANAJUMUIYA NEW YORK AKAMATA NONDO, UNIVERSITY YA PHOENIX, ARIZONA

 Shaillah Kishumbua akiwa na Baba yake mzazi, Mzee Mallya wakipata picha ya pamoja baada ya kukamata NONDOZ  ya MASTERS OF HEALTH ADMINISTRATION & INFORMATICS, University Ya Phoenix, Arizona, Nchini Marekani
 Kutoka shoto ni Eliafoo Kishumbua(mume wake Shaillah), Shaillah Kishumbua na Mzee Mallya 
 Kutoka kushoto ni Eliofoo Kishumbua, Shaillah Kishumbua, Kennedy Kishumbua(mtoto wa Shaillah) na Mzee Mallya.
Shaillah Kishumbua akipata picha ya kumbukumbu na Baba yake mzazi Mzee Mallya.

No comments: