Rais Jakaya Kikwete akimpongenza Balozi Liberata Mulamula kwa kazi nzuri aliyoifanya katika sekreteriati ya Maziwa Makuu kwa miaka mitano. Pembeni ni Dr Asha-Rose Migiro Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Rais Kikwete akipiga picha ya pamoja na Dr Migiro, Balozi Mulamula Viongozi na Wajumbe kutoka Nchi za Maziwa Makuu wanaohudhullia mkutano wa kupinga unyanyasaji na ukatili wa kijinsia unaofanyikia Uganda katika hoteli ya Speke Commonwealth Resort kitongoji cha Munyonyo nje kidogo ya
Kampala ambapo Balozi Mulamula ndio amemaliza rasmi muda wake wa kufanya
kazi kama Katibu Mtendaji wa ICGLR na kumuachia kiti Prof Lumu Alphonse Ntumba Luaba (59) wa DRC.
PICHA NA IKULU
Kampala ambapo Balozi Mulamula ndio amemaliza rasmi muda wake wa kufanya
kazi kama Katibu Mtendaji wa ICGLR na kumuachia kiti Prof Lumu Alphonse Ntumba Luaba (59) wa DRC.
PICHA NA IKULU


No comments:
Post a Comment