Mamia ya watu wamehudhuria sala ya kuwakumbuka marehemu nchini Nigeria kwenye kanisa la Wakatoliki, ambamo watu zaidi ya 30 waliuwawa katika shambulio la mabomu Jumapili.
Shambulio hilo nje ya mji mkuu, Abuja, lilikuwa la mwanzo katika mashambulio kadha siku ya Krismasi yaliyofanywa dhidi ya makanisa na majengo ya polisi.
No comments:
Post a Comment