MSANII mkongwe wa maigizo na filamu, Mzee Fundi Said, aliyevuma katika fani hiyo tangu akishiriki uigizaji vipindi vya Radio Tanzania hadi kundi la Kaole, amefariki leo asubuhi majira ya saa 3:30 huko Kigogo. Hali ya msanii huyo ilianza kuwa ya utata miaka ya karibuni akisumbuliwa na matatizo kadhaa ya kimwili ambapo jana hali yake ilikuwa mbaya wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika makazi yake katika nyumba inayomilikiwa na kundi la Kaole.
1 comment:
lulu ibrahim
said...
inalillah wainallihh rajiun mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi AMIN
1 comment:
inalillah wainallihh rajiun mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi AMIN
Post a Comment