ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, May 9, 2012

BONDIA SELEMANI KIDUNDA AFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA OLIMPIKI


Juu na chini ni Makamu Mwenyekiti wa chama cha ngumi za ridhaa nchini Michael Changalawe akipa mkono bondia Selemani Kidunda wakati wa kumpongeza baada ya kufuzu katika mashindano ya Olimpik yanayotarajia kufanyika hivi karibuni.Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.comwww.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments: