ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, May 29, 2012

SAKATA LA MFANYA BIASHARA MJINI MBEYA KUTAKA KUUZIWA DOLA FEKI


 Mfanya Biashara akiwa ameistukia Dola kuwa ilikuwa ni feki na kumkomalia muuzaji 
 Muuzaji wa Dola akiwa anaendelea kulazimisha kuwa ile dola 100 ilikuwa ni ya ukweli 
 Hapa mfanya Biashara amechachamaa na kumshikilia huyu jamaa anae uza dola Feki 
 Jamaa akiwa ameshilikia Dola yake feki 
Wanausalama wamesha fika eneo la tukio na kumchukua muuza dola feki 

 Wana usalama sasa wamewachukua jamaa wanawapeleke kituo cha polisi 

Picha kwa hisani ya Mbeya Yetu Blog.

No comments: