ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, July 7, 2012

CHAMELEONE ATUA JIJINI DAR, TAYARI KWA SHOO YA LEO


Jose Chameleone akiwa Uwanja wa Taifa wa Julius Nyerere baada ya kuwasili leo.
Chameleone akitoa saluti kwa waliofika kumpokea.
Chameleone akilakiwa na mmoja wa waratibu wa Tamasha la Matumaini, Benjamin Mwanambuu.
...Wakielekea kwenye gari.
...Akishuka ndani ya gari nje ya ofisi za Global Publishers.
Msanii Jose Chameleone kutoka nchini Uganda, ametua jijini Dar es Salaam muda huu tayari kwa shoo ya Tamasha la Matumaini linalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Martha Mwaipaja akilipamba Tamasha la Matumaini
Mwimbaji wa muziki wa injili, Martha Mwipaja akilipamba Tamasha la Matumaini ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar muda huu.
Kwa picha zaidi Bofya Read More
Glorious Celebration wakiingia jukwaani.
...wakiwa jukwaani.
...Burudani zikiendelea.
Kundi la Glorious Celebration likifanya makamuzi katika Tamasha la Matumaini ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam muda huu.
Bi Mwenda akipozi uwanjani kabla ya mpambano wa Bongo Movie na Bongo Fleva.
Mkongwe wa filamu za Bongo Movie, Fatuma Makongoro 'Bi Mwenda' amesema leo ameingia uwanjani na mikoba yake yote ili kuhakikisha Bongo Movie inapata ushindi katika mechi yao ya leo dhidi ya Bongo Fleva.
Amesema watashinda 4-0 katika mchezo wa leo.
Bongo Fleva wakiingia uwanjani kupasha misuli.
Bongo Flava wakiingia kupasha misuli.
Mechi ya Bongo Movie na Bongo Fleva inataraji kuanza muda si mrefu na hapa ni maandalizi ya timu zote mbili.

(PICHA KWA HISANI YA GPL)

No comments: