Kyle Glover ambae ni mtoto wa
mke wa zamani wa Mwimbaji Usher Raymond, amefariki dunia leo kutokana na
kuumia kwenye ajali ya pikipiki za kwenye maji maarufu kama Jetski
mwanzoni mwa mwezi huu huko Georgia Marekani.
Madaktari wametoa mashine zilizokua zinasaidia kumuweka hai mtoto huyo aliekua na umri wa miaka 11 baada ya kugundua kwamba majeraha aliyoyapata yasingeweza kutibika.
Kyle akiwa na rafiki yake wa kike mwenye umri wa miaka 15 walipata ajali july 8 2012 huko Georgia baada ya Inner tube waliyokuwemo iliyokua ikivutwa na boti kugongwa na Jetski wakiwa kwenye maji na hivyo kupata majeraha ya kichwa.
Madaktari wametoa mashine zilizokua zinasaidia kumuweka hai mtoto huyo aliekua na umri wa miaka 11 baada ya kugundua kwamba majeraha aliyoyapata yasingeweza kutibika.
Kyle akiwa na rafiki yake wa kike mwenye umri wa miaka 15 walipata ajali july 8 2012 huko Georgia baada ya Inner tube waliyokuwemo iliyokua ikivutwa na boti kugongwa na Jetski wakiwa kwenye maji na hivyo kupata majeraha ya kichwa.
Usher Raymond, Tameka na watoto wao kabla ya ndoa yao kuvunjika. |
2 comments:
mkuu rekebisha news, mtoto wa kambo wa usher si wake wa kumzaa ni wa mkewe japo kuwa wa mkewe ndo wake lakin ndo hivyo tena
http://www.youtube.com/watch?v=x_-VQTqvNBk
Post a Comment