Advertisements

Tuesday, July 31, 2012

MATUKIO KATIKA PICHA NDANI YA CHICAGO NA BANG PARTY

 Chicago down town inavyoonekana kwambali kupitia lake Michigan, unaweza kufikiria ni bahari him kumbe ni ziwa mambo ya vijimambo hayo.
 Wakazi Wassira Kushoto na Dulla Solo wakipeana challenge ya mistari ya hip pop Wakazi ni mwanamuziki kizazi kipya and Dulla Solo ni Tanzania hip pop legend.
 Dulla Solo akiwa na Stanboi aka the Afican Child, Stanboi  mwanamuzik wa kizazi wa r&b na kwa sasa anatamba na kibao chake cha feel good akipata ukodak na legend wa hip pop
Stanboi na nembo ya Tshirt zake zinazo julikana kama the African child akiwa na watu walio walionunua kutoka kwake.

Ukodak wa vijimambo watu wakishow love mwanzo kushoto mdau wa Chicago kati ni Stanboi kutoka    Wichita Ks na Dr Kally kutoka Detroit MI Dr Kally ni jina la kisanihi nae licha ya kufanya kazi za kuajiliwa pia ujiusisha na muzik wa hip pop pale anavyo pata muda.
Pita pita ya camera ya vijimambo ikakuta parking hii hipo full na vyombo vya majini katika lake Michigani Chicago..........kama unavyo jionea.

No comments: