Advertisements

Tuesday, July 31, 2012

RAIS KIKWETE AFUTURISHA MKOANI LINDI


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru waalikwa kwa kuhudhuria kwenye hafla ya futari aliyoandaa katika Ikulu ndogo ya Mkoani Lindi jana Julai 30, 2012.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe Ludovick Mwananzila akishiriki katika futari hiyo pamoja na waalikwa wengine.
Waalikwa wakipakua futari.
Kadhi wa Mkoa wa Lindi ambaye pia ni Shekhe Mkuu wa Mkoa Mohamed Saidi Mushangani akitoa neno la shukurani baada ya futari.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wageni waalikwa baada ya kufuturu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mkuu wa Magereza wa Mkoa wa Lindi (kushoto) na Mkuu wa Idara ya Uhamiaji ya mkoa waliokuwa miongoni mwa wageni waalikwa.
(PICHA NA IKULU)

No comments: