ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 24, 2012

Mwaliko wa futari ulioandaliwa na chama cha mapinduzi

FUTARI YA PAMOJA
WASHINGTON DC
Kwaniaba ya Chama Cha Mapinduzi, Mwenyeki na Uongozi wa CCM Tawi la DMV tunawatakia waislam wote duniani Ramadhani njema.
Pia Tunawakaribisha watu wote katika futari ya pamoja
Kama ilivyo desturi tunaungana nao katika mwezi huu wa Ramadhani.
Watanzania wote mnakaribiswa katika futari hiyo  ya pamoja.

SIKU:   IJUMAA: AUGUST 3, 2012
WAKATI: 7.30 P.M.
ADDRESS: 10615 New Hampshire Avenue
                   Silver spring, MD 20903

RAMADHANI KAREEM
UONGOZI WA TAWI


3 comments:

Anonymous said...

sasa huu uongozi wa ccm nimekubaliana nao pia tunashukuruni sana mungu awazidishie kidumu chama cha ccm

Anonymous said...

Swali kwa wanazuoni,ukifuturishwa na watu wasio na fardhi,saumu inaswihi? Tupeni jibu ili ijumaa tutafute pa kwenda wakati m/kiti ccm/dmv atakapofuturisha!! Tuache kuingilia mambo ya ushabiki ktk ibada!!

Anonymous said...

Si ushabiki ndugu mara ngapi vikundivya watu au makambpuni yanafuturisha?Zantel,vodacom na mengineyo na hawaleti udini kabisa nadhani haijalishi kwa hilo mimi sioni kuna tatizo,kuna waislam ambao wako hapo katika chama hicho ukimtolea mbali mwenyekiti kwa wachache tu kuna Kinyemi,Zaina,Alawi ambao wote ni waislam!na inakubalika kwahilo ni chama kinafuturisha!!!chunguza uone makampuni mangapi huwa yanafuturisha.Asante sana.