ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 24, 2012

SALAMU ZA RAMBI RAMBI


SALAMU ZA RAMBI RAMBI
CCM DMV
WASHINGTON DC
Wanachama wa CCM tawi la DMV tunaungana na watanzania wenzetu popote duniani kutoa salamu  Za rambi rambi kwa Kuondokewa na  MZEE WETU MKONGWE WA CHAMA CHA MAPINDUZI, NDUGU AZZAN ALLY MANGUSHI .
Mzee wetu,  atakumbukwa kwa hoja zake za kuchangia mambo mbali mbali ndani ya chama cha mapinduzi hasa kipindi alivyoweza kushika nafasi ya mjumbe wa halmashauri kuu ya kinondoni-Dar es salaam na mambo mengi yaliyoweza kulijenga taifa la Tanzania. Wanachama wa ccm wameondokewa na kiongozi imara na shupavu katika siasa.
Sisi wananchama wa CCM tawi la Washington, DC Maryland na Virginia tunatoa salamu za rambi rambi kwa ndugu wa marehemu na wanachama wa ccm     popote duniani katika kipindi hiki kigumu.
Mungu ailaze roho ya mzee wetu huyu peponi
Amin
Uongozi
Tawi la ccm-DMV
Marekani

No comments: