ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, July 18, 2012

ZOEZI LA UOKOAJI MAITI NA MAJERUHI WA AJALI YA MELI ZNZ KATIKA PICHA


Picha za ajali ya meli katika bandari ya Malindi Zanzibar,  wananchi wakiwa wamekusanyika kwa huzuni kutambua maiti na majeruhi wa ajali hiyo. (Picha zote na
Ramadhan Othman- Ikulu Zanzibar).
 Askari wa vikosi vya Ulinzi na Usalama vikiwa katika hekaheka za kuopoa miili ya watu waliofariki katika ajali hiyo.

No comments: