Advertisements

Sunday, August 26, 2012

Matukio ya CHADEMA-M4C Houston


Marriot Hotel Houston - Ulipofanyika mkutano wa CHADEMA
Wadau wa Houston - John na Mbowe
Mdau Abdulkarim na Katibu wa CDM Houston Nd.Mlay

Wadau wa Houston

Mdau wa Atlanta, Dada Linda ndani ya nyumba

Wadau wa Houston na Atlanta

Msafara wa Mh.Mbowe ukiingia Marriot

Msafara wa Mh.Mbowe ukiingia Marriot

Sehemu ya Wadau wa Houston wakisikiliza sera za Vua Gamba Vaa Gwanda

Wadau Sekulu na Himid

Dada Linda na Dada Asha wakionesha ubunifu wa mavazi yenye rangi ya bendera ya CDM

Mdau Ngalawa akiwa na Mh.Mbowe

Mh.Mbowe na wadau wa Houston

Mh.Mbowe na wadau wa Houston na Atlanta

Mh.Mbowe na mkereketwa wa CCM-Houston Nd.Ndejembi

Mh.Mbowe na wazee wa M4C kutoka DMV
Kwa picha zaidi bofya read more

Mh.Sugu akiwa na Nd.Ngalawa

Mh.Mbowe akimwaga sera za CHADEMA kwa wadau wa Houston

Sehemu ya umati wa wadau
Mwenyekiti wa TZ-Houston Community, Nd.Novatus Simba
Wadau Houston wakivua Gamba na Kuvaa Gwanda

Wadau Houston wakivua Gamba na Kuvaa Gwanda

Wadau Houston wakivua Gamba na Kuvaa Gwanda

Mdau Lenny wa Houston akivua Gamba na Kuvaa Gwanda

Mdau Kasapira aka Yes We Can  wa Houston akivua Gamba na Kuvaa Gwanda
Future M4C wa Houston

Wadau

Mdau Sekulu akimuuliza swali Mh.Mbowe
Andrew Sanga akiwa na kadi ya CDM
Mdau Jerome akipokea kadi ya CDM kutoka kwa Mh.Mbowe

Mwenyekiti wa CDM Taifa akisaini kadi za wanachama wapya

Mwenyekiti wa Muda wa CDM-Houston, Bw,Fue O. Fue akiwa na Mh.Mbowe, Dada Maggie na Mdau

Mh.Sugu akiwa na Nd.George Kasapira

Mh.Mbowe akiwa na Nd.Martin Mhumbira

Mh.Mbowe akiwa na Nd.Andrew Sanga

3 comments:

Anonymous said...

i love CHADEMA

Anonymous said...

Amen !!! Muda umewadia. You are either with us or against us. Choose the option that suits you .

Anonymous said...

Big up CDM!

It's your time to lead us to success.

Move on chadema move.

Vek.