ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, October 28, 2012

SIKUKUU YA EID AL HAJI ILIVYONOGA JIJINI COPENHAGEN, DENMARK

Watoto wakiimba na kusubiri zawadi zao katika Sherehe ya Eid Al Haji  iliyofanyika  Haraldsgade 69, Copenhagen nchini Denmark na kuhudhuriwa na Watanzania wakiwemo marafiki zao.
Handsome wa kesho mtoto William akipokea zawadi yake
Bi Aisha katika Pozi zito
Bi. Sanura alikuwepo kuwakilisha
Bi. Lilian nae alikuwepo ndani ya nyumba
Mrembo jina lake halikuweza kupatikana akionyesha manjonjo yake
Dj Anil Nanji akifanya vitu vyake.
Bi. Mariam wa Galaboy na Bi.Sabrina
Mkuu Mbuzi waweza kumuita Beberu au mtalaam wa birian naye alikuwepo
Melchior akiwa na mwanachuo mwenzake
 Kuliwepo pia michezo ya watoto na watu wazima
Hapo Da' Sada kama anasema abiria chunga mzigo wako.
 Mr. and Mrs Omary Galaboy ndani ya tabasamu la shibe
Kwa picha zaidi bofya read more

No comments: