| Hakika wazee wengi na vijana wamejitokeza katika kufanya usafi katika makaburi haya ya isanga |
| Mzee mbio akiwahi kufanya usafi kweli leo wamegoma kusherehekea Idi |
| Bibi nae hakucheza mbali na eneo la tukio hataki mchezo yupo kukwatua visiki vidogodogo hapo makaburini |
| Bibi sasa amechoka anasaidiwa jembe |
| Watangazaji wa Bomba FM Gabriel na Kamanga matukio nao waliungana na wakazi hao wa isanga katika kufanya usafi wa makaburi hayo ya isanga |
| Joseph mwaisango wa mbeya yetu hakucheza mbali natukio hilo nae akifanya usafi kuwakilisha Tone Multimedia company Limited Mbeya Yetu Blog |
1 comment:
pongezi kubwa kwa waislamu wa Mbeya hapo naona makaburi ya kristo na islamu yote yanasafishwa kwa mujibu wa eid alhaji,wale wahuni wanaojiita waislamu wa siasa kali waone ushirikiano wa watanzania tangu enzi na enzi hao ni waislamu halisi tunaowafahamu wanasafisha makaburi bila kujali ya wakristo au waislamu huu ndio udini tunaoujua wa kupendana sio wao wahuni na sera zao za kupigana mapanga Shehe Ponda wa kundi lako mlaaniwe, mshindwe na mlegee azma yenu mungu aichome moto itokomee kama majivu
Post a Comment