
Akifanya kazi njema ya Ukombozi tokea M
apinduzi ya Zanzibar ambapo vipawa vyake na Umahiri wake Jeshini lionekana mwanzoni tu, japo kwa kuwa naye alisomea Ukomandoo wa Kijeshi Nchini Cuba alihusishwa zaidi na kundi la Makomredi wa Umma Party chini ya Profesa Abdulrahman Mohammed Babu na Mzee Ali Sultan Issa.
Mara baada ya Mapinduzi na kuundwa Muungano wa Nchi za Tanganyika na Zanzibar, Kanali Ali Mahfoudh na wengi wa Makomredi wenziwe waliingizwa
No comments:
Post a Comment