John Magale Shibuda akimsikiliza kwa makini Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ndani ya ukumbi wa Kizota, kwenye mkutano mkuu wa nane wa Chama Cha Mapinduzi.
Mama Maria Nyerere (wa nne kushoto) na Mama Anna Mkapa (wa tatu kushoto) wakifuatilia mkutano huo wa nane wa CCM.
Picha na www.ccmchama.blogspot.com



No comments:
Post a Comment