ANGALIA LIVE NEWS

Monday, December 3, 2012

TWANGA YAPAGAWISHA MASHABIKI DAR LIVE USIKU WA KUAMKIA LEO

Badi Bakule (kushoto) na Dogo Rama wakiimba.
Wanenguaji wa bendi wakifanya vitu vyao.
Wacharaza nyuzi wa bendi hiyo, Gody Kanuti (kushoto) na Miraji Shakashia.
Mnenguaji Maria Soloma akiwa sambamba na Dogo Rama.
Kwa picha zaidi bofya read more
Timu yote ya wanenguaji wa kike wa bendi hiyo wakiserebuka.
Jumanne Iddi (kushoto), Luiza Mbutu na Salehe Kupaza wakiimba.
Wasanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya, Redy Black (kushoto) na Dully B wakitoa burudani.
Bondia wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka akiserebuka.
Wanenguaji wa Twanga wakifanya mazoezi nyuma ya jukwaa.

BENDI ya muziki wa dansi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Jumapili iliyopita ilionyesha kuwa wao ni magwiji wa muziki hapa nchini baada ya kudondosha burudani ya nguvu na kusababisha mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi wa Taifa wa burudani Dar Live kupagawa.
‘Watoto’ hao wa Asha Baraka walivamia jukwaa la kisasa la ukumbi huo majira ya saa 3.30 usiku mara baada ya wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya kumaliza kukamua ambapo iliporomosha burudani mfululizo huku wanenguaji wao wakionyesha umahiri mkubwa na kuwafanya mashabiki waserebuke bila kuchoka.

(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/GPL)

No comments: