![]() |
| Hatari langoni mwa Coastal |
![]() |
| Suleiman Kassim 'Selembe' akimuacha chini Khamis Mcha 'Vialli' |
![]() |
| Kipre Balou akiuwahi mpira mrefi dhidi ya Jerry Santo wa Coastal |
![]() |
Himid Mao wa Azam na Mohamed Mtindi wa Coastal Union wakigombea mpira
Picha zote kwa hisani ya Bin Zubery Blog
|
![]() |
| Himid Mao na Salum Abubakar wakishirikiana kumpokonya mpira mchezaji wa Coastal |
![]() |
| Suleiman Kassim 'Selembe' akimtoka kiungo wa Azam, Khamis Mcha 'Vialli' |
![]() |
| Juma Mpongo amedaka mbele ya mshambuliaji wa Azam, Gaudence Mwaikimba |
![]() |
| Brian Umony wa Azam akiwa amemuangukia mchezaji wa Coastal |
![]() |
Hamisi Shengo wa Coastal Union, akitafuta mbinu za kumtoka Humphrey Mieno wa Coastal Union
|
![]() |
Hamisi Shengo wa Coastal Union, akitafuta mbinu za kumpokonya mpira Humphrey Mieno wa Azam
|
![]() |
| Kikosi cha Azam leo |
![]() |
Manahodha Jerry Santo wa Coastal Union na Himid Mao wa Azam FC kulia
|
![]() |
| Kikosi cha Coastal Union leo |
![]() |
Rais wa ZFA, Aman Ibrahim Makungu akisalimiana na beki wa Azam FC, Joackins Atudo kabla ya mechi ya Kundi B ya Kombe la Mapinduzi kati yao na Coastal Union kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
|
















No comments:
Post a Comment