ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, January 3, 2013

RATIBA YA MAZISHI YA SAJUKI TAREHE 04/01/2013.


No
MUDA
TUKIO
MHUSIKA
1
1:00-……..
Waombolezaji kuwasili nyumbani kwa marehemu
Kamati yya mapokezi na Itifaki
2
2:00-2:45
Kisomo cha wanaume
Wanafamilia

3
2:45-3:30
Mwili wa marehemu kuwasili nyumbani
Kamati ya mazishi na familia.

4
3:30- 5:00
Salamu za pole kutoka kwa viongozi, ndg na jamaa
Kamati ya Itifaki
5
5:00- 6:00
Sadaka ya chakula
Wote

6
6:00-6:15
Nasaha toka kwa viongozi wa dini
Mashekhe

7
6:15
Mwili kuondoka nyumbani kuelekea msikitini
Kamati ya itifaki, usafiri na mazishi.
8
6:15-6:30
Kisomo cha kinamama
Kinamama

9
6:30 – 7:30
Mwili kuwasili msikitini na swala ya kuswalia maiti
Kamati ya mazishi na wahusika wa msikiti
10
7:30……
Mazishi
Shekhe na watu wote.

11

 Shukrani za mazishi na mwisho.
Familia na viongozi wa dini

Imetolewa na kamati ya mazishi. 
Ahsanteni kwa ushirikiano

2 comments:

Anonymous said...

nimesoam taarifa hii yani jamani siamini lakin najua ndo njia yetu hii wote tutaipita hakuna atakaye ikwepa duniani tupo njiani tunapita hatujui lini safari yetu itafika, rahman amsamehe madhambi yake na apeleke peponi pemaa amin.

nilikuwa nampenda sana actor huyu wa nyumbani jamani binadamu hatu kitu tusimsahau mola wetu aliyetuumba na tuishi kwa maisha anayo yataka yeye amin.

natoa pole kwa ndugu na jamaa na marafiki na majirani wa merehemu kweli tunao uchungu ametutoka lakin ndo siku yake imefika Allah kamhitaji. rahman atupe mola wa subira amin.

dj luke naomba kama itawezekana weka account number tutume pesa japo kiidogo kwa familia ya marehemu na pia number au contact zozote tuweze kuwasiliana na familia ya marehemu kama nilivyosema nilikuwa anapenda sana anavyo actor alikuwa msani bora kwangu mimi.

shabiki wa marehemu kuziangalia movie zake daima New york

Anonymous said...

jamani naipa pole familia ya Sajuki,wastara Mungu akupe Moyo wakuweza kusonga mbele kwani duniani tunapita wote njia yetu ni moja<
Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina la bwana lihimidiwe daima.amen