Thursday, February 14, 2013

Maelfu wamzika Sheikh Nassor Abdallah Bachu

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, Masheikh mbali mbali na mamia ya wananchi wa Zanzibar, akiwa katika mazishi ya Mwanazuoni na mhadhiri maalum Zanzibar na eneo la Afrika Mshariki, Sheikh Nassor Abdallah Bachu huko katika viwanja vya Mnazimmoja mjini Zanzibar jana. Alizikwa jana kijijini kwao Donge, Wilaya ya Kaskazini 'B', Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, Masheikh mbali mbali na mamia ya wananchi wa Zanzibar, akiwa katika mazishi ya Mwanazuoni na mhadhiri maalum Zanzibar na eneo la Afrika Mshariki, Sheikh Nassor Abdallah Bachu huko katika viwanja vya Mnazimmoja mjini Zanzibar jana. Alizikwa jana kijijini kwao Donge, Wilaya ya Kaskazini ‘B’, Mkoa wa Kaskazini Unguja
Sheikh Nassor Alisaliwa katika Viwanja Vya Maisara na Kuzikwa kijijini kwao Donge
Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi Akishuhudia Jeneza la Sheikh Nasssor Bachu
Kutokana na watu kuwa wengi sala ya maiti ilifanywa kwenye viwanja vya Maisara na sio msikiti wa kikwajuni kama ilivyotangazwa hapo mwanzo.
Mwenyezi Mungu Amuweke marehemu mahala pema peponi Ameen.

No comments: