Baadhi ya majina ambayo mtandao mmoja maarufu umeyaweka wazi, ambao
watafanya mazungumzo na timu hii kuangalia uwezekano wa kuhudhuria na kutumbuiza
katika siku hii ni pamoja na Rihanna, Chris Brown, Nicki Minaj, Toni Braxton,
pia Alaine na Burning Spear kutoka Jamaica.
Maandalizi ya onyesho hili kubwa kabisa kwa sasa yapo katika hatua za
awali, na kwa taarifa tu ni kwamba, tukio la wasanii hao litakuwa ni tofauti na
sherehe rasmi za kiserikali za kuapishwa kwa rais huyo

No comments:
Post a Comment