Monday, May 27, 2013

KESI YA LWAKATARE YAAHIRISHWA MPAKA JUNI 10, 2013

Wilfred Muganyizi Lwakatare (kwenye gari) akirudishwa rumande. (Picha na Maktaba Yetu)

Kesi inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Muganyizi Lwakatare, leo imeahirishwa hadi Juni 10 mwaka huu baada ya hakimu aliyetakiwa kusiliza kesi hiyo kuwa likizo. Lwakatare anakabiliwa na kesi ya kujaribu kumwekea sumu Dennis Msaki na amerudishwa rumande mpaka tarehe tajwa.

No comments: