Friday, May 3, 2013

Serikali yafuta matokeo ya kidato cha 4 ya mwaka 2012.

Serikali imefuta matokeo ya mtihani wa kidato na nne cha mwaka 2012 na kuamuru yaandaliwe upya kwa kufuata utaratibu uliotumika mwaka 2011.

No comments: