ANGALIA LIVE NEWS

Monday, July 8, 2013

HALIMA MDEE VS JACQUELINE WOLPER - GPL


Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee akizipiga na Mwigizaji Mahiri wa Filamu nchini, Jacqueline Wolper katika Tamasha la Usiku wa Matumaini lililofanyika Julai 7, 2013 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mpaka mwisho wa mchezo, ngoma ilikuwa droo!

No comments: