ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, July 13, 2013

STARS YALALA 1-0 KWA UGANDA

 Mshambuliaji Machachari wa timu ya Taifa (Taifa Stars),Amri Kiemba (kushoto) akijaribu kutana kuwatoka mabeki wa timu ya Uganda ( The Cranes) katika mchezo wa kuwania tiketi ya kucheza mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN),mpaka dkk 90 Uganda 1 Stars 0
Picha kwa hisani ya Othman Michuzi

No comments: