ANGALIA LIVE NEWS

Monday, July 1, 2013

WANA-CCM CALIFORNIA WASHIKAMANA NA KUJITOLEA KUSAIDIA KULISHA WATU WASIO NA MAKAZI "HOMELESS PEOPLE"

Picha juu na chini wajumbe wa CCM wakiwa na mwenyekiti wao Josephine (fulana nyeusi wa nne toka kulia)) na katibu Erick (fulana nyeupe kulia)) katika ukumbi wa ST. Anthony Foundation uliopo San Francisco, California, wajumbe hawa wa tawi la CCM California waliweza kulisha watu waiokua na makaazi.

4 comments:

Anonymous said...

Mhe. Luke,

Nadhani katika matawi yote ya CCM yaliofunguliwa hapa Ughaibuni ! Hili la CCM California kwa kweli linanifurahisha. Muono wao katika jamii na siasa pia. Nadhani wamekuwa ni mfano wa kuigwa kwa kweli.

Wana-California hongereni na sana na endeleeni na mkazo huo huo. Mungu bariki

Anonymous said...

Asanteni sana. Ila next time take those gloves off!
Mbarikiwe

Anonymous said...

Homeless wa nyumbani TZ nani anawasaidia?

Anonymous said...

Tunawashukuru sana kwa kuwasaidia hao homeless WA California. Ila pia ni vizuri Mara nyingine mkielekeza mlichofanya huko mkifanye nyimbani Tanzania kuna mayatima wengi NA wenye shida zaidi