Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe (Katikati) akionesha sehemu ya vifaa walivyokabidhi leo kwa klabu za Simba na Yanga kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2013/2014, kushoto ni Katibu Mkuu wa Simba Evodius Mtawala na Kulia ni Katibu Mkuu wa Yanga Lawrance Mwalusako
No comments:
Post a Comment