ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 9, 2013

YANGA, SIMBA ZAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI YA MSIMU MPYA WA LIGI KUU BARA 2013/2014

Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe (Katikati) akionesha sehemu ya vifaa walivyokabidhi leo kwa klabu za Simba na Yanga kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2013/2014, kushoto ni Katibu Mkuu wa Simba Evodius Mtawala na Kulia ni Katibu Mkuu wa Yanga Lawrance Mwalusako

No comments: