Advertisements

Monday, August 12, 2013

Dillish afurahia Feza kutoka BBA

Mshiriki kutoka nchini Namibia Dillish ameonyesha kufurahia baada ya mshiriki kutoka Tanzania Feza Kessi kuyaaga mashindano hayo usiku wa Jumapili’.
Kamera za BBA zilimuonyesha Dillish akifurahia baada ya Feza kutoka nje ya mjengo huyo wakati akihojiwa na mtangazaji wa shindano hilo IK.

Ambapo Dillish alinyanyua mikono yake juu na kusema kwa sauti ‘Yes! Feza Out! Thanks God!’alisikika mshiriki huyo wa Namibia akifurahia kwani Feza ndiye aliyeoneka kuwa na upinzani mkubwa kwa washiriki waliobaki kwenye shindano…

No comments: