ANGALIA LIVE NEWS

Monday, August 19, 2013

MABARAZA LA RASIMU YA KATIBA HOUSTON

TANZANIA HOUSTON COMMUNITY

Kikao cha Baraza la Rasimu ya Katiba Houston kilifanyika  08/17/2013. kwa kuzingatia ibara ya 60 ya mambo ya muungano, wajumbe wameamua kwamba Baraza letu la Houston litajadili hasa kuhusu uraia wa nchi mbili/dual citizenship.Katika hatua ya kwanza kikao kiliamua kutafuta na kukusanya mawazo toka kwa wanajumuiya kuhusu faida na hasara za uraia wa nchi mbili kwa wananchi na nchi yetu ya Tanzania kwa ujumla. Baraza litaliangalia suala hili katika mitazamo ya hoja zifuatayo:
    HOJA                        
1. Ulinzi na Usalama.
     Wapokea maoni
     - Nickson Mlay: 713-966-0185 or nisimla@hotmail.com 
     -David Mrema: 832-525-9857 or davidmrema@hotmail.com
2. Uchumi
     Mpokea maoni
    -Erasto Mvungi: 832-486-0678 or mvungies@yahoo.co.uk
3. Jamii/utamaduni.
      Mpokea maoni
      -Fue Fue: 832-549-1853 or o_fue@yahoo.com
 Hivyo basi kila mwanajumuiya mwenye maoni anaweza kuwasiliana mojakwamoja na mpokea maoni ya hoja inayohusika au akatoa maoni yake ndani ya mtandao wetu wa jumuia au katika email ya jumuiya tzhoustoncomm@gmail.com na wahusika watayachukua maoni yako. Natanguliza shukrani zangu kwa ushirikiano wenu.
Mabadiliko Huletwa na Wanaoshiriki.
Asanteni,

Novastus Simba, Mwenyekiti..

No comments: