ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, August 22, 2013

NI MPAMMBANO WA KUKATA NA CHEPEO MWANZO MWISHO NI KATI YA NDOMOLO NA MDUARA DJ BILAL NA DJ MAO MTU KATI ALAMO LOUNGE USIKU WA JUMAMOSI WHO IS NEXT???


Jumamosi hii ya tarehe 24 ndani ya Alamo Lounge ni mpambano wa madj kati ya Dj Mao na Dj Bilal bingwa wa mduara, na Dj Mao bingwa wa Ndombolo kazi kwenu wana New York na pande za kati. Kiingilio kama siku zote ni mguu wako tu na kupendeza kwako ndiyo ticket yako. Judge wa mpambano huo ni Vijimambo New York pamoja na kilele za machabiki wa music hitakayo pigwa na madj hao. Wote mnakaribishwa  kuanzia saa nne usiku hadi majogoo. Njoo kushuudia ujuzi wa madj hao wakali wakichuana ndani ya Alamo. Address ni hii!
 Alamo Lounge
166 Gramatan Ave.
Mount Vernon, NY 10550

1 comment:

Anonymous said...

jamani luke naomba please utuwekee clip ya pambano hili la leo kwenye mtandao please nasikitika sana sitoweza kuhuzuria nimepata emergency so nakuomba jamani mheshimiwa luke utuweke pambano hili clip yake mtandaoni ili tujionee tukipata nafasi siku nyinginewe please mkuu nani zaidi, hongereni watanzania wa new york wa mount vernon kwa kufanya mchakatuo huu na kutupa burudani sisi wakazi wa mount vernon new york ahsante sana mungu akupeni daimi miyoyo kama hivi daima ahsanteni