| Paul BuyoyaBiswalo |
Kama kawaida yetu watanzania ,tunawaomba tushirikiane pamoja na familia ya Biswalo huko Tanzania ili kuweza kufanikisha mahitaji yote ya huu msiba ulio tupata wa Mtanzania mwenzetu.
Taarifa tulizo nazo ni kwamba Kaka yake na Marehem anatarajiwa kufika hapa Atlanta kesho Usiku Tarehe 14 August 2013.
Mipango kamili ya Mazishi ya marehem bado hayajapangwa mpaka hapo kaka wa Marehem atakapo wasiri.
Ndugu wa Marehem pamoja na marafiki wa karibu na marehem Paul Buyoya Biswalo wame fungua Account kwa ajili ya Funeral fund ya Marehem kwenye Link hapo chini.
You can help by donating through Paypal (https://www.paypal.com/webapps/mpp/send-money-online ) to the email below:tage81@hotmail.com
or you can donate through the Buyoya Funeral Fund established below:http://www.gofundme.com/buyoyabiswalo
Msiba Utakuwa Nyumbani kwa Ndugu Elias Elisa hapa Atlanta, pindi kaka wa Marehem atakapo fika .
taarifa zaidi tutawafahamisha hapo baadaye
Kwa maelezo zaidi : wasiliana na :
Elias Elisa 404-647-4945
Amani Tungaraza .614-323-4114
Lemmy Muhando 202-361-1059
Dennis Bwimbo 817-770-3559
Mungu amuweke mahali pema Peponi, Paul BiswaloAmen
Kwa maelezo zaidi : wasiliana na :
Elias Elisa 404-647-4945
Amani Tungaraza .614-323-4114
Lemmy Muhando 202-361-1059
Dennis Bwimbo 817-770-3559
Mungu amuweke mahali pema Peponi, Paul BiswaloAmen
Tanzania Association of Atlanta
No comments:
Post a Comment