Advertisements

Friday, September 27, 2013

Dr. Slaa At The Capital Hill For Bilateral Talks With Senate Committee !

 The Slaa's arriving at Capital Hill for Bilateral Talks. Wide ranging issues were discussed !

The Slaa's with one of the Senators

Dr. Slaa held a bilateral talk with Senatorial subcommittee on wide ranging issues related to economic cooperation between the United States and Tanzania.

5 comments:

Anonymous said...

I don't see any senator on the photo up with Dr. Slaa-----may be sanators' aide. Please, don't bluff next time!

Anonymous said...

Mmh mdau hapo juu usitudanganye unajua ma-senator wote. Huo ni uongo uliopitilizaaa

Anonymous said...

acheni ujinga,hajakutana na senator yoyote. huyu ni mfanyakazi katika mjengo wa capitol hill. jamani sasa mnamwaibisha katibu wetu kwa kuandika vitu vya uongo.kaka luke na wewe usiwe unapost habari za uongo kama hizi,zinambomoa katibu wetu.
Mdau DMV

Anonymous said...

FACTS CHECK:ni kweli huyo black si senator, why? because hamna senator mweusi senator mweusi wa mwisho Likua Roland Burris wa Illinois aliye m replace Obama however, huyo black ni congressman, why? Because kwenye suit yake upande wa juu kushoto amevaa badge ya Congress ambayo huwa haivaliwi na ma aides wao means huyu black Yuko kwenye chamber ya house of Representatives ambayo iko na ma congressman weusi pia.
My conclusion is mwandishi ameteleza but don't undermine kwamba dk slaa hajaonana na hao wakubwa labda mwandishi awawekee wabongo jina la huyo congressman wa Google ili waamini ninachokiongea, I know this for the fact because I worked there
Mdau dc

Anonymous said...

Wadau hapo juu please be realistic. This is Senator Tim Scott from the great state of South Carolina. He is not an aide at Capitol hill. Get your fact straight please and stop hating. I'm not a fun of Dr. Slaa, but on this matter i have to defend him.