ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, October 3, 2013

IBADA YA MSIBA, TAR. 10/5/2013

Wachungaji, Mathayo Malekela na Stella Swai tunakukaribisha kwenye
ibada ya msiba wa mama mzazi wa Mch. Malekela itakayofanyika siku
ya Jumamosi Tarehe 10/5/2013 wiki hii.
1.Mahali pa ibada ni
   12805 Georgia Avenue,
   Silver Spring MD 20906.

2. Muda ni saa saba mchana hadi saa kumi na moja jioni [ 1pm to 5pm ]

3. Muhubiri ni Rev: Elingarami Munisi toka Tanzania.

4. Akina mama tunawaomba mje na chakula mkiweza.
    Pia akina baba tunawaomba mtuletee vinywaji baridi [ maji,soda au juice ]

5. Mchungaji Samsoni Ananiah ataongoza kusifu na kuabudu.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie kwa simu hizi

KUFIKA KWAKO NDIYO KUFANIKIWA KWA IBADA YETU.

No comments: