ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, October 5, 2013

LEO NI LEO OMMY DIMPOZ NAI NAI USA TOUR PART 1 FAINALI - NDANI YA LOS ANGELES, CALIFORNIA


 


KIINGILIO $20 | VIP $300 | VVIP $500

4 comments:

Anonymous said...

Luka Kuna haja gani ya kutuwekea picha za wanawake wasiokuwa na haya wala maadili...huu mchezo wa kulukiana na kuonyeshana ngono unatutia aibu na kuwazalilisha wanawake wote wa kibongo...tumia busala kabla ya kuweka hizi picha...Kama unataka blogu yako ieshimike.

Anonymous said...

MDAU # 1 NAKUUNGA MKONO. BAADHI YA DADA ZETU WANASEMA HAYO NDIYO MAENDELEO. MAENDELEO PIA NI KUFUNIKA NIPPLES NA KUACHA BREASTS NJE. UKIWAAMBIA "YOU LOOK SO SEXY" WANAJIBU "THANK YOU" LAKINI UKIBADILISHA HIYO STATEMENT YA KWANZA KWA LUGHA YETU YA KISWAHILI WANA-FEEL OFFENDED. SINA MAANA YA KUWADHALILISHA DADA ZANGU, HAPANA. HILI NI KUNDI DOGO SANA MIONGONI MWAO. WENGI WAO WANAJIHESHIMU SANA NA NAPENDA KUTUMIA NAFASI HII KUWAPONGEZA SANA.

Anonymous said...

acheni bwana wanawake wakibongo wenyewe ndo mnazipenda hizi acheni mkisifiwa you look so damn sex girl, mnapenda msilete longa longa hapa halafu wanaume tumeubiwa nyinyi muwe hivyo tuwapende mtufurahishe mtupendezeshe ndo dunia ilivyo acheni hizo iam sure nikimfuata mwanamke mlokole na kuanza kumsifu kwa mapenzi atapenda hata na yeye so come one girl take it easy give me you number let me hallaaaa back at you alright my sex angel

Anonymous said...

Sasa kwani Luka anakosa gani??? Kama Mijianawake imeshindwa kujiheshimu na kujisitiri ipasavyo Luka afanye nini??? Msitake kulaumu Watu kwa tabia mbaya za kihuni za baadhi ya wanawake katika jamiii! Hii inaonywesha waaazi kuwa kuna wanawake wanapenda kujulikana kwa nguvu hivyoooo watafanya juu chini mpaka wajulikane hata Kama ni kukaa uchi watakaa na hata Kama ni kula mavi watakula tu! Shame! Shame!